Posted on: December 3rd, 2025
Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ umefanyika leo Desemba 3, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri, ambapo madiwani wateule wameapishwa rasmi na kuanza kutekeleza ...
Posted on: November 29th, 2025
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali wilayani Hanang’ leo Novemba 29, 2025 wamejitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la usafi wa mazingira kama sehemu ya utaratibu wa kitaifa wa kufanya usafi kila jumamosi ...
Posted on: November 27th, 2025
Serikali imekamilisha ujenzi wa nyumba maalum kwa ajili ya kumpatia makazi salama Betrina Basili Francis, binti mwenye mahitaji maalum aliyeathirika vibaya na maporomoko ya tope ya Desemba 2023 yaliyo...