Posted on: May 26th, 2025
Stendi mpya ya mabasi ya Katesh Bus Terminal iliyopo mji wa Katesh wilaya ya Hanang, inatarajiwa kuanza kutumika rasmi kesho, Mei 27, 2025, kwa shughuli zote za usafirishaji wa abiria.
Akizungumza ...
Posted on: May 25th, 2025
Shirika la ECLAT Development Foundation na Shirika la UPENDO kutoka Ujerumani, limekabidhi rasmi Shule ya Msingi Boboka kwa wananchi wa Kata ya Dirma, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za ...
Posted on: May 22nd, 2025
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ inaendelea kutekeleza kwa vitendo dhamira yake ya kuboresha mazingira ya utoaji wa elimu nchini, kwa kuwekeza katik...