Posted on: April 26th, 2025
Wilaya ya Hanang imeadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwemo kuchangia damu, upandaji miti na usafi wa mazingira katika maeneo mbali...
Posted on: April 24th, 2025
Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ leo imefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika kipindi cha robo ya tatu ya mw...
Posted on: April 24th, 2025
Kamati ya Mwenge ya Wilaya ya Hanang’ imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotarajiwa kupitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025. Ziara hiyo imeongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo amb...