• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI HANANG' LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHARI KWA MWAKA 2024/2025

Posted on: February 19th, 2024

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' Tarehe 19.02.2024, Limepitisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' kwa mwaka 2024/2025.

Baraza hilo lililoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. William Manase. Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 Jumla ya Shilingi Bilioni 54.2 Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' inakadiria kukusanya, kupokea na kutumia.


Akiwasilisha Rasimu hiyo ya Mpango na Bajeti Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu Ndugu Erick Kayombo ambapo pamoja na mambo Mengine amesema:

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' inakadiria kukusanya kupokea na kutumia Jumla ya Shilingi 54,232,827,800.00 kati ya fedha hizo, shilingi 1,451,864,000 sawa na asilimia 2.7 ya Bajeti nzima ni kwaajili ya Matumizi Mengineyo (OC), Shilingi 29,453,952,000.00 sawa na asilimia 54.3 ni kwaajili ya mishahara (PE), Shilingi 15,077,157,000.00 sawa na asilimia 27.8 ni kwaajili ya Utekelezaji  wa Miradi ya Maendeleo na shilingi 8,249,854,800.00 sawa na asilimia 15.2 ya Bajeti nzima ni makusanyo ya ndani ya Halmashauri.

Hata hivo Ndugu Kayombo ameeleza kuwa Bajeti hiyo imezingatia makundi ya msingi yaliyoainishwa kwenye nyaraka muhimu kama vile Dira ya Maendeleo ya Taifa ya Mwaka 2025, Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi Ya CCM ya Mwaka 2020-2025, Sheria ya Bajeti, Mkakati wa Taifa wa Lishe, Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP), Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan wakati analitubia Bunge na Maagizo Mengine Yaliyotolewa na Serikali ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa.


Awali akizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo Mhe Manase amesema Rasimu hiyo ya Bajeti ya Kiasi cha Shilingi Bilioni 54.2 itasaidia kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa ni pamoja na kuongeza na Kuboresha miundombinu ya huduma za kijamii kama vile Maji, Afya, Mazingira na Miradi mingine Mingi ya Maendeleo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' Ndugu Francis Namaumbo amesema Bajeti Hii ya Mwaka Wa Fedha 2024/2025 ni lazima itekelezwe kwa kuchukua hatua madhubuti katika ukusanyaji wa mapato ya ndani pamoja na fedha zinazotoka serikali kuu kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo zinasimamiwa vizuri kwa maslahi mapana ya Wananchi na Taifa kwa Ujumla.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • HANANG YANG'ARA UMITASHUMTA 2025 NGAZI YA MKOA, YAONDOKA NA VIKOMBE SITA

    June 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA HANANG YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI.

    June 03, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA “MAMA SAMIA” WAANZA KUTOA HUDUMA HANANG KWA SIKU SABA.

    June 02, 2025
  • HANANG' YAFANYA BONANZA LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    June 01, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.