• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC HANANG’ AONGOZA MIKUTANO YA UELIMISHAJI NA USHIRIKIANO NA VIONGOZI WA DINI

Posted on: November 12th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Hanang’, Mhe. Almishi Isa Hazali, ameendelea na mikutano yake ya uhamasishaji na uelimishaji kwa viongozi wa vijiji, vitongoji, watendaji, na viongozi wa dini, lengo likiwa ni kuimarisha usalama, maadili, na mshikamano katika jamii ya Hanang’.

Katika kikao cha kwanza kilichowahusisha watendaji na wenyeviti wa vitongoji, elimu ilitolewa kuhusu uhamiaji na ulinzi wa wananchi pamoja na mali zao vijijini.
Afisa Uhamiaji wa Wilaya, Ndugu Albert Buchafwe, aliwakumbusha viongozi hao kuwa na jukumu la kuwatambua na kuwafichua wahamiaji haramu katika maeneo yao, kutokukodisha mashamba au ardhi kwa wageni bila kufuata kanuni na sheria za nchi, na kuhakikisha kila mgeni anasajiliwa mara tu anapowasili.
Aidha, aliwahimiza kuweka daftari la wakazi katika kila kitongoji kwa ajili ya kudhibiti mienendo ya watu na kulinda usalama wa wilaya na taifa kwa ujumla.

Katika hatua nyingine, Mhe. Hazali amekutana na viongozi wa dini mbalimbali wilayani Hanang’, akiwashukuru kwa kazi kubwa wanayoendelea kufanya katika kujenga jamii yenye amani, upendo, na mshikamano.
Amewaomba viongozi hao kuendelea kusimamia maadili ya vijana, kuwaongoza katika njia za uadilifu na uzalendo, pamoja na kuombea taifa na viongozi wake, hususan Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pia, Mkuu huyo wa Wilaya amesisitiza umuhimu wa kuanzishwa na kuimarishwa kwa mabaraza ya wazee katika kila kata, akieleza kuwa wazee ni hazina ya hekima na ushauri katika utatuzi wa migogoro na utunzaji wa mila na desturi zinazojenga umoja wa kitaifa.

Kupitia mikutano hiyo, serikali ya wilaya inaendelea kujenga msingi imara wa ushirikiano kati ya serikali, wananchi, na taasisi za dini katika kulinda amani, kuimarisha maadili, na kuhimiza maendeleo endelevu katika Wilaya ya Hanang’.



Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WATENDAJI WA KATA 11 KATI YA 33 WAPEWA 'REDCARD'; CHAKULA SHULENI NI LAZIMA 2026

    November 19, 2025
  • WANANCHI HANANG' KUPATA MAJIKO BANIFU KWA SHILINGI 11, 200 TU

    November 19, 2025
  • DED HANANG' AIASA JAMII KUCHUKUA HATUA ZA KINGA DHIDI YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

    November 15, 2025
  • HANANG YAWEKA MKAKATI MPYA WA KUBORESHA LISHE SHULENI NA JAMII – SHULE 54 ZAAGIZWA KUTOA CHAKULA CHA MCHANA IFIKAPO JANUARI 2026

    November 17, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.