• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HANANG DC YAENDELEA KUSIMAMIA USAFI KWA MAKAZI YA TAASISI NA WANANCHI.

Posted on: February 22nd, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imeendelea kusimamia utekelezaji wa zoezi la usafi wa mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi katika maeneo ya taasisi za umma na makazi ya wananchi ambapo leo usafi unafanyika katika maeneo mbalimbali.

Katika maeneo ya mamlaka ya mji Mdogo wa Katesh, Afisa Mtendaji mkuu wa mamlaka hiyo Daudi Manda Darabe amewaongoza wakazi kufanya usafi katika maeneo ya biashara ya maeneo ya umma huku akisisitiza kuwa zoezi hilo litaendelea mara mbili kila wiki katika eneo lote la mamlaka ya mji Mdogo.

Afisa Mtendaji Mkuu (TEO) wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katesh, Daudi Manda Darabe akihamasisha wafanyabiashara katika eneo la stendi ya mabasi ya Katesh kushiriki zoezi la usafi.


Manda amewataka wafanyabiashara na wakazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katesh kutoa ushirikiano kwa wasimamizi wa usafi huku akitangaza marufuku ya kutupa taka ovyo ambayo itaambatana na faini ya shilingi elfu 50.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Wilaya ya Hanang, Ayoub Semdumbe, ameongoza kampeni ya usafi kwa kaya katika kitongoji cha Waret, akisisitiza umuhimu wa mazingira safi na salama.

kuu wa Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Wilaya ya Hanang, Ayoub Semdumbe, akihamasisha kampeni ya usafi kwa kaya katika kitongoji cha Waret,

Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Wilaya ya Hanang, Ayoub Semdumbe,akihamasisha kampeni ya usafi kwa kaya katika kitongoji cha Waret.


Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Semdumbe amewataka wananchi kuhakikisha wanazingatia kanuni za usafi, ikiwemo kufyeka nyasi zinazozunguka makazi yao ili kudhibiti mazalia ya mbu.

Kwingineko katika vijiji mbalimbali vya wilaya ya Hanang ikiwemo Laghanga wananchi wameipongeza serikali kwa jitihada zake za kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki katika shughuli za usafi.

Hatua hii ni sehemu ya utaratibu wa kawaida wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, inayofanya usafi wa mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi katika maeneo yote ya wilaya.

Baadhi ya wananchi na Viongozi wa kijiji cha Laghanga katika picha ya pamoja mara baada ya kukamilisha zoezi la usafi wa mazingira katika viunga mbalimbali kijijini hapo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.