• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HANANG' DC YAFUZU HATUA YA 16 BORA SHIMISEMITA TANGA

Posted on: August 23rd, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imeendelea kung’ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo la Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA) yanayoendelea jijini Tanga, baada ya timu zake zote mbili za mpira wa wavu (wanaume na wanawake) kutinga hatua ya 16 bora. Mchezo huo uliopigwa mchana wa leo Agosti 23, 2025 katika viwanja vya Tanga School umeibua gumzo kwa mashabiki wa michezo kutokana na ubabe ulioonyeshwa na wanamichezo hao.

Katika mchezo wa awali, timu ya wanawake ya Hanang’ iliibuka na ushindi mnono dhidi ya wapinzani wao kutoka Halmashauri ya Mufindi. Waliweza kushinda kwa seti 2-0, wakifunga alama 25-09 na 25-13. Matokeo haya yaliwaweka kileleni mwa kundi A kwa alama 15, na kuthibitisha nafasi yao katika hatua inayofuata ya mashindano. Ushindi huo uliamsha shangwe kubwa kutoka kwa mashabiki waliokuwa wakifuatilia pambano hilo.

Kwa upande wa wanaume, Hanang’ pia ilionyesha uwezo mkubwa baada ya kuitandika timu ya Rorya DC. Katika mchezo uliokuwa wa ushindani, Hanang’ iliibuka na ushindi wa seti 2-0, kwa alama 25-11 na 25-14. Matokeo haya yamezidi kudhihirisha kwamba timu hiyo iko katika ubora wa hali ya juu na imejipanga ipasavyo kwa hatua zinazofuata.

Kupitia matokeo haya, timu zote mbili za Hanang’ DC sasa zimesonga mbele hadi hatua ya 16 bora, zikisubiri kumalizika kwa michezo kutoka makundi mengine ili kujua wapinzani wao watakaokutana nao. Hatua hii ni ya kihistoria kwa Hanang’ kwani inaonyesha mwelekeo mzuri wa maandalizi na ari kubwa ya watumishi kushiriki michezo kama sehemu ya kujenga mshikamano na afya bora.

Mashabiki na viongozi wa michezo wilayani Hanang’ wameipongeza timu hiyo kwa kuendeleza nidhamu, mshikamo na bidii ambayo imeiwezesha kuendelea kupanda chati katika mashindano haya makubwa ya kitaifa. Wameeleza matumaini makubwa kuwa kwa kasi hii, Hanang’ inaweza kufika mbali zaidi na hata kufikiria kurejea nyumbani na makombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WANANCHI HANANG’ WAJITOKEZA KUSHIRIKI USAFI WA MAZINGIRA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI

    August 31, 2025
  • HANANG' DC YATWAA MEDALI 12 NA KOMBE MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025.

    August 30, 2025
  • SHIMISEMITA 2025: HANANG DC YATINGA HATUA YA NUSU FAINALI KIBABE MBELE YA DED NA DAS.

    August 27, 2025
  • HANANG' DC YAZIDI KUNG’ARA SHIMISEMITA, YATINGA ROBO FAINALI YA SOKA NA KUTWAA MEDALI YA RIADHA

    August 25, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.