• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HANANG' DC YAZIDI KUNG’ARA SHIMISEMITA, YATINGA ROBO FAINALI YA SOKA NA KUTWAA MEDALI YA RIADHA

Posted on: August 25th, 2025

Timu ya kandanda ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imeendelea kuonesha makali yake katika mashindano ya SHIMISEMITA yanayoendelea jijini Tanga, baada ya kufuzu hatua ya robo fainali kwa kishindo.

Katika mchezo uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Galanos, Hanang’ DC iliibuka na ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya Mpimbwe DC, ushindi uliotokana na uimara wa kiufundi na umakini wa wachezaji.

Kwa upande wa riadha, Hanang’ imejipatia medali nyingine kupitia mkimbiaji wake Vincent Kanyogoto, aliyeibuka kinara katika mbio za mita 100 na kuendeleza rekodi yake nzuri baada ya kung’ara katika mashindano yaliyopita.

Tayari Hanang’ DC ilikuwa imeshatwaa medali ya kwanza kupitia wachezaji wa kike katika mbio za kupokezana vijiti (relay), hatua inayothibitisha ubora wa timu hiyo katika nyanja mbalimbali za michezo.

Kocha wa timu ya soka, Salim Ally Amri, amesema ushindi huo umetokana na nidhamu na morali ya juu ya wachezaji wake, hali iliyowawezesha kutawala mchezo na kufanikisha ushindi huo.

Kwa upande wake, Afisa Michezo wa Wilaya ya Hanang, Bernad Sambagi, amepongeza jitihada za Mkurugenzi wa Halmashauri, Teresia Irafay. Amesema mchango wake mkubwa katika maandalizi ya timu tangu siku ya kwanza ya mashindano ndio siri ya mafanikio haya.

Hadi kufikia Agosti 25, 2025, Hanang’ DC imesalia kuwa halmashauri pekee kutoka Mkoa wa Manyara inayoendelea kushiriki michezo ya SHIMISEMITA, jambo linaloipa heshima kubwa na kuongeza matarajio ya kutwaa medali zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • View All

Latest News

  • WANANCHI HANANG’ WAJITOKEZA KUSHIRIKI USAFI WA MAZINGIRA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI

    August 31, 2025
  • HANANG' DC YATWAA MEDALI 12 NA KOMBE MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025.

    August 30, 2025
  • SHIMISEMITA 2025: HANANG DC YATINGA HATUA YA NUSU FAINALI KIBABE MBELE YA DED NA DAS.

    August 27, 2025
  • HANANG' DC YAZIDI KUNG’ARA SHIMISEMITA, YATINGA ROBO FAINALI YA SOKA NA KUTWAA MEDALI YA RIADHA

    August 25, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.