• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HANANG YAADHIMISHA MIAKA 61 YA MUUNGANO KWA ZOEZI LA UPANDAJI MITI, USAFI NA MICHEZO.

Posted on: April 26th, 2025

Wilaya ya Hanang imeadhimisha miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwemo kuchangia damu, upandaji miti na usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.


Sherehe hizo zilianza kwa mazoezi ya mchakamchaka (jogging) yaliyoandaliwa kwa ajili ya watumishi wa umma na wananchi, yakianzia katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Hanang na kuishia katika eneo la Nangwa, ambapo washiriki walishiriki katika shughuli za usafi wa mazingira katika kijiji cha Nangwa na maeneo ya jirani.

Katika kuendeleza maadhimisho hayo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang, Mwalimu Athuman Likeyekeye, akiwa mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya, aliwaongoza wananchi katika zoezi la upandaji wa miti katika chanzo cha maji kilichopo kijiji cha Qutesh, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uhifadhi wa mazingira na vyanzo vya maji.

Maadhimisho hayo yaliambatana na bonanza maalum la michezo lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ufundi Stadi Nangwa (VTC), likiwa sehemu ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).

Bonanza hilo liliwaleta pamoja watumishi wa serikali waliopambana katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu, pete, kikapu, kukimbia kwenye magunia na kuvuta kamba.


Katika ujumbe wake kwa washiriki, Katibu Tawala wa Wilaya alisisitiza umuhimu wa mazoezi katika kuimarisha afya na mshikamano wa kijamii, akihimiza jamii kuendelea na utamaduni huo kwa maendeleo endelevu ya wilaya.


Maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yanatarajiwa kufanyika mkoani Singida tarehe 1 Mei 2025.








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • SERIKALI HANANG YADHAMIRIA KUIMARISHA USAFI WA MAZINGIRA KWA WAKAZI WA WARET

    May 19, 2025
  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.