• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

Posted on: May 14th, 2025

Mradi wa ujenzi wa jengo la wodi ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini), unaotarajiwa kuongeza huduma bora za afya ya mama na mtoto kwa wakazi wa Wilaya ya Hanang’ na maeneo jirani, sasa umefikia asilimia 93 ya utekelezaji.

Mradi huu mkubwa, unaogharimu zaidi ya shilingi milioni 594, umefadhiliwa kupitia fedha za Serikali Kuu na mapato ya ndani ambapo Serikali Kuu imetoa shilingi 560,141,335 huku Halmashauri ikichangia shilingi 34,686,762.28. Msimamizi wa mradi huo Dkt. Peter Marwa amesema, Mkandarasi tayari amelipwa zaidi ya asilimia 90 ya malipo yote na kazi zimesalia kidogo kabla ya makabidhiano rasmi ifikapo Mei 31, 2025.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang Teresia Irafay amesema lengo ni kuboresha maeneo ya kutolea huduma za afya ili kupunguza adha kwa wananchi hususani wajawazito na watoto, ndio maana Serikali imeongeza jengo la wodi ya wazazi katika hospitali hiyo.

Mradi huu unatarajiwa kuwa mkombozi mkubwa kwa akina mama na watoto wachanga kwa kuongeza idadi ya vyumba vya kujifungulia kutoka kimoja hadi vinne, pamoja na kujumuisha chumba cha upasuaji wa dharura ndani ya jengo hilo.

Aidha, idadi ya vitanda imeongezeka kutoka 22 hadi 50, hatua inayotarajiwa kupunguza msongamano na kuboresha utoaji wa huduma kwa wakati.

Kwa upande mwingine, watoto wachanga wanaozaliwa na changamoto za kiafya pia watanufaika kupitia huduma maalumu zitakazotolewa ndani ya jengo hilo jipya.

Wakazi wa Hanang’ sasa wana kila sababu ya kutazamia huduma bora za afya, bila kulazimika kusafiri umbali mrefu kufuata matibabu. Kama alivyonukuliwa mmoja wa viongozi wa hospitali hiyo

Mradi huu ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya serikali ya kuboresha huduma za afya nchini kwa kuimarisha miundombinu ya hospitali kongwe na kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma stahiki, kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.