• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KOMBE NA MEDALI 12 VYATUA HANANG DC, SHIMISEMITA YALETA FURAHA KWA WATUMISHI NA WANANCHI.

Posted on: September 8th, 2025

Timu ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', leo Septemba 8, 2025 imewasilisha medali 12 na kombe kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', Teresia Irafay, zilizotokana na kufanya vizuri katika mashindano ya Shirikisho la Michezo Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA) yaliyofanyika Jijini Tanga.

Medali hizo za ushindi zimekabidhiwa na Mkuu wa Idara ya Utumishi na Rasilimali Watu, Lucy Kaulule mbele ya wakuu wa idara mbalimbali na baadhi ya wanamichezo walioshiriki mashindano hayo. 

Akizungumza wakati wa hafla hiyo fupi, Irafay amewapongeza wanamichezo wote waliojitoa kuhakikisha ushindi huo unapatikana na kusisitiza umuhimu wa maandalizi ya mapema kwa kuandaa mabonanza ya michezo ambayo yatawaweka tayari muda wote ili mwakani Hanang' ikafanye vizuri zaidi.

Aidha, amesema ataendelea kutenga fedha kutoka mapato ya ndani ili kuboresha viwanja vya michezo.

Mkuu wa msafara katika mashindano ya SHIMISEMITA, Justine Martin, ambaye pia ni Afisa Utumishi ametoa shukrani kwa Mkurugenzi kwa juhudi zake zilizochochea mafanikio hayo, huku Afisa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bernard Sambagi, akieleza kuwa kuelekea mashindano hayo mwakani, maandalizi yataanza mapema na kusema kuwa ushindi huo ni matokeo ya jitihada za pamoja, viongozi na washiriki.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • KAMBI MAALUMU YA MADAKTARI BINGWA YAANZA WILAYANI HANANG’, WANANCHI ZAIDI YA 1,500 WATARAJIWA KUPATA HUDUMA.

    September 09, 2025
  • KOMBE NA MEDALI 12 VYATUA HANANG DC, SHIMISEMITA YALETA FURAHA KWA WATUMISHI NA WANANCHI.

    September 08, 2025
  • HANANG’ YAFIKISHA UCHANJAJI WA MIFUGO 431,306

    September 07, 2025
  • WANANCHI HANANG’ WAJITOKEZA KUSHIRIKI USAFI WA MAZINGIRA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI

    August 31, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.