• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

LIGI YA SOKA WILAYA YA HANANG YAFUNGULIWA RASMI, DC HAZALI ACHANGIA MILIONI MOJA.

Posted on: July 22nd, 2025

Muu wa Wilaya ya Hanang, Mheshimiwa Almishi Hazali, leo Julai 22, 2025 amefungua rasmi Ligi ya Soka ya Wilaya ya Hanang katika hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Mount Hanang, mojawapo ya miradi iliyotembelewa na Mwenge wa Uhuru 2025.

Ligi hiyo inajumuisha jumla ya vilabu 21 kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Hanang, ikiwa ni jukwaa mahsusi kwa vijana kuonesha vipaji vyao na kukuza mshikamano wa kijamii kupitia michezo.

Katika kuonesha dhamira ya kuendeleza michezo, Mheshimiwa Hazali alikabidhi mchango wa shilingi 1,000,000 kusaidia uendeshaji wa ligi hiyo, fedha ambazo zitatumika katika kugharamia mahitaji mbalimbali kama waamuzi, vifaa vya michezo, na ustawi wa wachezaji.

“Ligi hii si tu mashindano ya mpira wa miguu, bali ni sehemu ya kujenga umoja, kukuza vipaji, na kutoa fursa kwa vijana wetu kung’ara kitaifa,” alisema DC Hazali wakati wa hotuba yake ya uzinduzi.

Mashabiki wa soka kutoka maeneo mbalimbali walijitokeza kwa wingi kuushuhudia mchezo wa ufunguzi, huku uwanja ukilipuka kwa vifijo, nderemo na rangi za vilabu pinzani.

Ligi ya Wilaya ya Hanang inatarajiwa kudumu kwa kipindi cha wiki kadhaa, ikifanyika katika uwanja wa Mount Hanang Stadium. 

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • LIGI YA SOKA WILAYA YA HANANG YAFUNGULIWA RASMI, DC HAZALI ACHANGIA MILIONI MOJA.

    July 22, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA MKOA WA MANYARA

    July 12, 2025
  • MANYARA YAZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI WA MITUNGI YA GESI YA RUZUKU

    July 11, 2025
  • DC HANANG AAGIZA CHAKULA CHA MCHANA KUTOLEWA KWA WANAFUNZI WOTE SHULENI.

    July 04, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.