• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA WILAYA YA HANANG

Posted on: April 30th, 2024

Wilaya ya Hanang ni miongoni mwa Wilaya tano zinazounda Mkoa wa Manyara. Wilayahii ni miongoni mwa Wilaya za Tanzania zilizoadhimisha sherehe za miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2024.


Kushiriki zoezi la Usafi 

Katika tukio hili Mhe. Mkuu wa Wilaya tarehe 24/04/2024 akiwa na viongozi wengine wa Wilaya, wakuu wa Idara pamoja na vitengo vya Halmashauri waliungana na wananchi kushiriki zoezi la kufanya usafi katika soko la Katesh. Pamoja na zoezi a usafi, Mhe. Mkuu wa Wilaya aliwahutubia wananchi juu ya masuala mbalimbali yanayohusu umuhimu na faida za Muubgano.

Zoezi la upandaji miti

Wilaya ya Hanang iliungana na wananchi na viongozi mbalimbali kupanda miti katika kuadhimisha Muungano. Jumla ya miti 300ya aina mbalimbali ilipandwa katika eneo la shule ya Sekondari Lalaji. Zoezi hili lilisimamiwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Hanang kwa kushirikiana na TFS pamoja na wadau mbalimbali

Aidha wanafunzi wa shule ya Sekondari Lalaji pamoja na kupanda miti walishiriki katika kuimba nyimbo mbalmbali zinazohusiana na Muungano wa Tanzania na Zanzibar.  Pia wazee wa mila na viongozi wa dini waliokuwa wamealikwa walipewa nafasi ya kuliombea Taifa na kuuombea Muungano wa Tanzania.

Ufuatiliaji wa Hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Katika usiku wa kuamkia tarehe 26 Aprili, 2024 wananchi katika maeneo mbalimbali yakiwemo Balangdalalu, Katesh na Bassotu walifuatilia Hotuba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusiana na Muungano wa Tanzania.


Hotuba kwa wananchi

Mhe. Mkuu wa Wilaya alihutubia wananchi wa kata ya Lalaji na maeneo ya jirani waliokuwa wamekusanyika katika viwanja vya sekondari ya Lalaji. Katika hotuba hiyo Mkuu wa Wilaya alipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna navyoendeleza na kuenzi Muungano. Aidha aliwahimiza wananchi kullnda na kuuenzi Muungano kwa manufaa ya sasa na ya baadaye.

Hitimisho

Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zimefanyika na kuhitimishwa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya. Aidha wananchi wameelimishwa na kuelewa juu ya dhana nzima ya Muungano. Wilaya itaendelea kuelimisha wananchi juu ya jambo hili ili kuendelea kujenga uzalendo na uelewa wa pamoja kwa vizazi vyote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • HANANG YANG'ARA UMITASHUMTA 2025 NGAZI YA MKOA, YAONDOKA NA VIKOMBE SITA

    June 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA HANANG YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI.

    June 03, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA “MAMA SAMIA” WAANZA KUTOA HUDUMA HANANG KWA SIKU SABA.

    June 02, 2025
  • HANANG' YAFANYA BONANZA LA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

    June 01, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.