• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: May 7th, 2025

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang wameisifu menejimenti ya halmashauri hiyo inayoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Teresia Irafay, kwa namna ilivyotekeleza kwa ufanisi miradi ya maendeleo katika mwaka wa fedha unaoendelea.

Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani, kilichofanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mheshimiwa Rose Kamili, ameeleza kuwa hatua iliyofikiwa ni matokeo ya kazi ya pamoja kati ya menejimenti na uongozi wa Halmashauri.

Hata hivyo, Mheshimiwa Kamili amewataka wataalamu kutoa usaidizi wa karibu na wa haraka kwa wasimamizi wa miradi katika ngazi za vijiji na kata, ili kuepusha miradi viporo na kuhakikisha utekelezaji unafanyika kwa wakati.

"Hatutarajii kuona miradi ikikwama kwa sababu ya ucheleweshaji wa kitaalamu, huu ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha Hanang inasonga mbele bila miradi kusuasua," alisema Mheshimiwa Kamili.

Katika hatua nyingine, Mhe. Kamili ameagiza madiwani wote kushirikiana kwa karibu na wataalamu katika kata zao kuwahamasisha wanafunzi waliotoroka shule kurejea mara moja akisisitiza kuwa elimu ni msingi wa maendeleo na kwamba kila kiongozi anapaswa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha watoto wanapata haki yao ya msingi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Teresia Irafay, pamoja na mambo mengine amewatangazia madiwani kuwa kuanzia Mei 16 hadi 22, 2025, kutafanyika zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili katika wilaya ya Hanang. 

"Natoa wito kwa viongozi na wananchi wote kujitokeza kwa wingi ili kuhakikisha kila mwenye sifa anaandikishwa. Hili ni zoezi muhimu kwa maandalizi ya uchaguzi ujao," alisisitiza Irafay.

Aidha Irafay amesema tayari maandalizi ya awali kwa zoezi hilo yameanza, huku halmashauri ikiahidi kutoa ushirikiano kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhakikisha zoezi linafanyika kwa amani na ufanisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • ZAIDI YA BILIONI 1.3 ZAKOPESHWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU, SERIKALI YASISITIZA UWAJIBIKAJI.

    May 03, 2025
  • VIKUNDI 59 HANANG' VYANUFAIKA NA MKOPO WA MILIONI 799 ZA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI.

    May 02, 2025
  • WANANCHI WA HANANG WAKABIDHIWA HATI ZA UMILIKI ARDHI, WAKIONA MWANGA MPYA KATIKA KUTATUA MIGOGORO NA KUWEZESHWA KIUCHUMI.

    April 29, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.