• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI HANANG AKUTANA NA WADAU WA STAKABADHI GHALANI, AAHIDI UBORESHAJI

Posted on: July 24th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Teresia Irafay, leo Julai 24, 2025, ameongoza kikao cha wadau wa mfumo wa stakabadhi ghalani, kilicholenga kuimarisha maandalizi ya msimu mpya wa ununuzi wa mazao katika wilaya hiyo.

Akizungumza kwenye kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya, Irafay amesema kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani kwa msimu huu umefanyiwa maboresho ili kuondoa changamoto zilizojitokeza katika msimu uliopita, na hivyo kuongeza ufanisi na kuwafikia wakulima wengi zaidi.

"Tumejifunza mengi kutoka msimu uliopita. Kwa msimu huu, tumeongeza vituo vya ukusanyaji kutoka viwili hadi kufikia vituo nane. Hii ni hatua kubwa ya kuhakikisha tunawafikia wakulima wengi vijijini," alisema Irafay.

Ameongeza kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani ukiendeshwa kwa kuzingatia miongozo ya serikali, unaweza kuwa nyenzo madhubuti ya kumkomboa mkulima, kumhakikishia bei nzuri ya mazao na kuongeza usalama wa uhifadhi.

Katika kikao hicho, wadau kutoka taasisi mbalimbali na sekta binafsi walipongeza hatua hizo na kwa pamoja wakasisitiza kuwa mshikamano, uzalendo na ushirikiano kati ya serikali na wadau ndio msingi wa maendeleo ya Hanang’.

"Tunatambua kuwa uzalendo na ushirikiano ndio silaha ya maendeleo. Tukifanya kazi kwa pamoja, wakulima wetu watanufaika zaidi na mfumo huu," alisema mmoja wa washiriki wa kikao hicho.

Kikao hicho kinakuja wakati serikali inaendelea kusisitiza matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kama njia ya kuongeza tija kwa mkulima na kudhibiti hasara kutokana na kuuza mazao kwa bei duni.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • MKURUGENZI HANANG AKUTANA NA WADAU WA STAKABADHI GHALANI, AAHIDI UBORESHAJI

    July 24, 2025
  • HANANG YAZINDUA ZOEZI LA HAMASA YA UCHANJAJI MIFUGO KWA RUZUKU YA SERIKALI

    July 24, 2025
  • LIGI YA SOKA WILAYA YA HANANG YAFUNGULIWA RASMI, DC HAZALI ACHANGIA MILIONI MOJA.

    July 22, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA MKOA WA MANYARA

    July 12, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.