• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkutano wa Baraza la Madiwani Tarehe 28/04/2017

Posted on: April 29th, 2017


MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI KUJADILI TAARIFA ZA HALMASHAURI ROBO YA TATU (JANUARI – MACHI) 2016/2017.

Mkutano wa tatu wa kawaida wa Baraza la Madiwani kwa mwaka 2016/2017 kilifanyika jana katika ukumbi mkuu wa Halmashauri Tarehe 28/04/2017. Mkutano huo umeudhuriwa na wajumbe wa Baraza akiwemo Mbunge wa Jimbo Hanang’ Mhe. Dr.Mary Michael Nagu,  Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara/Vitengo pamoja na Viongozi mbalimbali waalikwa. Mkutano huo ulifunguliwa na Mwenyekiti wa Mkutano wa Baraza Mhe. George G. Bajuta asubuhi saa 4:00am na kumalizika majira ya jioni saa 12:10pm.


Lengo kuu la Mkutano 

Mkutano wa Baraza la Madiwani kilikaa kwa mujibu wa sheria kwa lengo la kujadili taarifa za Halmashauri kwa robo ya tatu Januari –Machi kwa mwaka 2016.2017 pamoja na kuweka maazimio mapya kwaajili ya maendeleo na ustawi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’.

Mambo muhimu yaliyozungumzwa na Viongozi mbalimbali katika Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Tarehe 28/04/2017

Mkuu wa Wilaya Hanang’

Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya, Ndg. Sara Sanga ambaye pia ni Katibu Tawala Wilaya Hanang, kupitia Mkutano huo wa BarazalaMadiwani aliwahasa wananchi wa Hanang’ kuhifadhi chakula na kuachana na tabia ya kuuza mazao yao ya chakula wanayovuna hivi sasa hususani maharagwe kwani hali ya chakula Wilayani hapa sii nzuri. Aidha aliwashauri wafugaji kuuza baadhi ya mifugo yao ili kuweza kununua mazao ya chakula kuepukana janga la njaa.

Mbunge wa Jimbo Hanang’


Mkutano huo  wa Baraza la Madiwani pia ulihudhuriwa  Mbunge wa Jimbo la Hanang’ Mhe. Dr.Mary Michael Nagu ambapo aliipongeza Halmashauri kwa kutambua umuhimu wa kuzipongeza shule 10 bora  zilizofanya viruzi katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba kwa mwaka 2016 Wilayani Hanang’. Aidha aliwaasa wadau wote wa Elimu kushirikiana kwa pamoja kwa lengo la kuinua Elimu wilayani Hanang, sambamba na hilo aliwaomba viongozi wote kuondoa itikadi zao za vyama na kushikamana kwa lengo la kujenga maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya Hanang.

 

Mkutano wa Baraza kuwapongeza shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya darasala Saba Hanang’ 2016.

Katika mkutano  huo wa tatu wa Baraza la Madiwani, iliwatunuku zawadi shule 10 bora za Hanang zilizofanya vizuri katika matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2016.

Zawadi mbali mbali zilitolewa kwa Walimu Wakuu wa shule hizo pamoja na Maafisa Elimu Kata wa maeneo ya shule hizo. Zawadi zilizotolewa ni pamoja na fedha Taslimu, vyeti na barua za pongezi.

Lengo la kutolewa kwa zawadi hizo ni moja ya mikakati ya Halmashauri kuinua kiwango cha Elimu Wilayani Hanang’ kwa kutoa Motisha kwa shule zitakazokuwa zikifanya  vizuri na hivyo kutia chachu kwa shule zingine kuweza kufanya vizuri.

Shule 10 bora zilizopongezwa na kutolewa zawadi;


 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.