• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA MANYARA ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO, AWAPONGEZA WANANCHI KWA KUJITOLEA.

Posted on: March 26th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, leo Machi 26, 2025 ameanza na ziara yake ya kikazi ya siku 4 wilayani Hanang’ kwa kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kufanya mikutano ya hadhara katika kata ya Laghanga, Ishponga na Gehandu.

Akiwa kijiji cha Muungano, Mhe. Sendiga amekagua ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho, ambapo kukamilika kwa zahanati hiyo kutaboresha huduma za afya kwa wakazi wa kijiji hicho. Aidha, ametembelea ujenzi wa nyumba ya walimu katika Shule ya Sekondari Dkt. Samia na kuridhishwa na hatua mradi ulipofikia, kabla ya kuelekea kata ya Ishponga ambapo alikagua maendeleo ya vyumba viwili vya madarasa katika Shule ya Sekondari Ishponga.

Katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Ishponga, Mkuu wa Mkoa ameahidi kuchangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kituo cha Afya Ishponga, akisema kuwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za wananchi.

Aidha, amewataka watendaji wa serikali kufanya mikutano ya hadhara mara kwa mara na kusoma mapato na matumizi ili wananchi wafahamu fedha zinazoletwa na serikali zimefanya kitu gani au zinakusudia kutumika katika kazi gani.

Katika hatua nyingine, Mhe. Sendiga ametoa agizo kwa wakazi wa Hanang’ waliofanya shughuli za kilimo kwenye mabonde na vyanzo vya maji kuachia maeneo hayo mara baada ya kuvuna mazao, akisisitiza umuhimu wa kulinda mazingira na vyanzo vya maji kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Ziara hii ni sehemu ya mkakati wa serikali wa kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku akiwahimiza wananchi kuendelea kushiriki kikamilifu katika juhudi hizo ili kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati na kuleta manufaa kwa jamii.





Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • HANANG YATOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.5 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    June 26, 2025
  • WANAWAKE MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUPITIA JUKWAA LA UJASIRIAMALI

    June 25, 2025
  • WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA ALIZETI WAJA NA MBINU THABITI NA RAFIKI WAKUTANA NA MKURUGENZI IRAFAY.

    June 16, 2025
  • KIKAO CHA DED HANANG NA UONGOZI WA WAMILIKI WA MABASI CHAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA HUDUMA KATIKA STENDI MPYA YA KATESH.

    June 16, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.