• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA HANANG AWEKA JIWE LA MSINGI KARAKANA YA UFUNDI KWA ELIMU YA WATU WAZIMA

Posted on: September 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mheshimiwa Almishi Hazali, ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa karakana ya ufundi kwa ajili ya wanafunzi wa elimu ya watu wazima chini ya programu maalumu ya IPOSA.

Hafla hiyo imeenda sambamba na kilele cha maadhimisho ya Juma ya Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Msingi Katesh A.

Akizungumza baada ya hafla hiyo, Mheshimiwa Hazali ameitaka jamii kujitokeza kujiendeleza katika ujuzi mbalimbali kupitia mfumo wa elimu ya watu wazima. Aidha, amewahimiza vijana waliokatisha masomo kwa sababu mbalimbali kujisajili katika kituo hicho ili kujipatia ujuzi utakaowawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali.

"Elimu ya watu wazima si kwa wanaoishi mijini pekee, bali kwa kila mkazi wa Hanang. Tunataka kila mtu ajifunze ujuzi utakaomsaidia kujitegemea na kuchangia maendeleo ya wilaya. Vijana waliokatisha masomo, hii ni nafasi yenu ya pili, msiache ipotee”alisema Mheshimiwa Hazali.

Kwa mujibu wa Afisa Elimu ya Watu Wazima wa Wilaya ya Hanang, Lilian Chongolo, hadi sasa kituo hicho kimeandikisha wanafunzi 4 wa fani ya ushonaji na mwanafunzi mmoja wa useremala, huku akitoa wito kwa vijana wengi zaidi kujiunga ili kupata mafunzo hayo muhimu.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Sophia Msofe, amesema Halmashauri imefanikiwa kuwarudisha shuleni wanafunzi 59 wa sekondari waliokatisha masomo kwa sababu mbalimbali chini ya mpango wa Elimu Mbadala ya Sekondari (ASEP) katika vituo viwili, huku jumla ya wanafunzi 60 wakiendelea na masomo ya MEMKWA katika vituo 11.

Ameongeza kuwa juhudi hizo zimechangia kupunguza idadi ya watu wazima wasiojua kusoma na kuandika wilayani Hanang kutoka asilimia 26.6 mwaka 2022 hadi asilimia 18.8 mwaka huu.

Juma la wiki ya elimu ya watu wazima mwaka huu limepambwa na kauli mbiu ya "Kukuza kisomo katika zama za kidigitali kwa maendeleo endelevu ya taifa letu"  ikilenga kuchochea matumizi ya zana za kidigitali katika nyanja mbalimbali kwenye jamii

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • DED IRAFAY AKABIDHI VISHKWAMBI KWA KIKOSI KAZI CHA UTAMBUZI NA USAJILI WA MADUKA YA VYAKULA NA VIPODOZI.

    September 11, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA HANANG AWEKA JIWE LA MSINGI KARAKANA YA UFUNDI KWA ELIMU YA WATU WAZIMA

    September 16, 2025
  • KAMBI MAALUMU YA MADAKTARI BINGWA YAANZA WILAYANI HANANG’, WANANCHI ZAIDI YA 1,500 WATARAJIWA KUPATA HUDUMA.

    September 09, 2025
  • KOMBE NA MEDALI 12 VYATUA HANANG DC, SHIMISEMITA YALETA FURAHA KWA WATUMISHI NA WANANCHI.

    September 08, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.