• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA MKOA WA MANYARA

Posted on: July 12th, 2025

Mwenge wa Uhuru 2025 umepokelewa rasmi leo Julai 12 , 2025 mkoani Manyara ukitokea mkoani Arusha, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mererani wilayani Simanjiro.

Akizungumza baada ya kupokea Mwenge huo, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mheshimiwa Queen Sendiga amesema Mwenge wa Uhuru utapita katika wilaya zote za mkoa, ambapo utatembelea, utakagua na kuzindua miradi 51 yenye thamani ya shilingi bilioni 71.3.

Mheshimiwa Sendiga amesisitiza kuwa miradi hiyo inagusa sekta muhimu kama maji, afya, elimu, miundombinu na uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, ikiwa ni ishara ya dhamira ya serikali kuboresha maisha ya wananchi wa Manyara.

Kwa Wilaya ya Hanang, Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa Julai 18, 2025 katika viwanja vya shule ya msingi Dabaschand. Aidha, mkesha wa Mwenge umepangwa kufanyika katika stendi ya zamani mjini Katesh, ambapo wananchi wanatarajiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki.

Wilaya ya Hanang imeshiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru leo Mererani kwa uongozi wa Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Almishi Hazali, akiongozana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang  Teresia Irafay, Katibu Tawala Wilaya Mwl. Athumani Likeyekeye na Mratibu wa Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Hanang,  Bernard Sambagi.

Viongozi hao wamesema wilaya imejipanga vizuri kupokea Mwenge kwa kuhakikisha usalama, maandalizi ya miradi itakayotembelewa, pamoja na kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kudumisha amani na mshikamano.

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2025 inawahimiza wananchi: “Jitokeze kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu.”


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAPOKELEWA MKOA WA MANYARA

    July 12, 2025
  • MANYARA YAZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI WA MITUNGI YA GESI YA RUZUKU

    July 11, 2025
  • DC HANANG AAGIZA CHAKULA CHA MCHANA KUTOLEWA KWA WANAFUNZI WOTE SHULENI.

    July 04, 2025
  • HANANG YATOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.5 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    June 26, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.