• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU KUINUA SEKTA YA KILIMO KUONGEZA TIJA YA MAZAO KWA WAKULIMA HANANG.

Posted on: March 7th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mheshimiwa Almishi Hazali amesema serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika jitihada za kuboresha sekta ya kilimo wilayani Hanang ili kuwasaidia wakulima kupata ushauri wa kitaalamu, mbegu bora, na viuatilifu, hatua inayochangia ongezeko la uzalishaji wa mazao.

Mhe. Hazali ameyasema hayo leo alipokuwa akitembelea mashamba ya wakulima katika kijiji cha Dawar, ambapo alishuhudia maendeleo yanayopatikana kupitia msaada wa wadau mbalimbali wa kilimo katika hafla maalumu iliyoandaliwa na idara ya kilimo na Uvuvi ya halmashauri ya wilaya Hanang.

Mkuu wa Wilaya, Mhe. Almishi Hazali, ameishukuru sekta binafsi kwa kushirikiana na serikali kupitia Idara ya Kilimo na Uvuvi kwa kuendelea kutoa ushirikiano muhimu na wataalamu wa kilimo kutoka halmashauri na kuhakikisha huduma za ugani zinawafikia wakulima kwa wakati sahihi.

TAZAMA VIDEO YAKE HAPA

Hafla hiyo imewakutanisha wadau wa sekta ya kilimo, wakiwemo wazalishaji wa mbegu bora za mahindi, alizeti, na maharage, pamoja na wakulima wa eneo hilo, wakijadili namna bora ya kuongeza tija.

Akizungumza katika tukio hilo, Mkuu wa Idara ya Kilimo na Uvuvi wa Wilaya ya Hanang, Daniel Luther, amesema mpango huo unalenga kuboresha huduma za ugani kwa kuwafikia wakulima moja kwa moja mashambani, kusikiliza changamoto zao, na kutafuta suluhisho kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo.

Luther amepongeza wadau wa kilimo kwa juhudi zao za kuleta maendeleo katika wilaya hiyo na kusisitiza kuwa serikali itaendelea kushirikiana nao kuhakikisha wakulima wanapata mbinu za kisasa za kilimo.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, John Kajivo amesema serikali inaendelea kushirikiana na sekta binafsi ili kuhakikisha kila kijiji kinapata huduma za wataalamu wa kilimo, jambo linalolenga kuongeza uzalishaji na kuboresha maisha ya wakulima.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • HANANG YATOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.5 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    June 26, 2025
  • WANAWAKE MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUPITIA JUKWAA LA UJASIRIAMALI

    June 25, 2025
  • WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA ALIZETI WAJA NA MBINU THABITI NA RAFIKI WAKUTANA NA MKURUGENZI IRAFAY.

    June 16, 2025
  • KIKAO CHA DED HANANG NA UONGOZI WA WAMILIKI WA MABASI CHAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA HUDUMA KATIKA STENDI MPYA YA KATESH.

    June 16, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.