• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI YAKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA MWANANCHI MWENYE MAHITAJI MAALUM WARET.

Posted on: November 27th, 2025

Serikali imekamilisha ujenzi wa nyumba maalum kwa ajili ya kumpatia makazi salama Betrina Basili Francis, binti mwenye mahitaji maalum aliyeathirika vibaya na maporomoko ya tope ya Desemba 2023 yaliyosababisha vifo vya wazazi wake wote. Nyumba hiyo imejengwa katika Kitongoji cha Waret, wilayani Hanang’, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kuhakikisha makundi maalum yanapata huduma na mazingira bora ya kuishi.

Katika ziara ya kukagua mradi huo, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. Jim Yonazi, amepongeza hatua kubwa iliyofikiwa na uongozi wa Wilaya ya Hanang’ kwa usimamizi makini hadi kukamilika kwa ujenzi huo kwa asilimia 100.

Dkt. Yonazi amesema:
“Hii ni kazi nzuri na ya kuigwa. Tumejenga nyumba yenye viwango kwa ajili ya mtoto ambaye alipoteza kila kitu. Serikali inaendelea kusimama na watu wenye ulemavu na makundi yaliyo kwenye mazingira hatarishi, na tutahakikisha hawachwi nyuma.”

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, Teresia Irafay, ameushukuru uongozi wa mkoa na serikali kuu kwa ushirikiano uliowezesha mradi huo kukamilika kwa wakati. Amesema nyumba hiyo ni matokeo ya nia ya pamoja ya kuhakikisha ustawi wa wananchi, hususan wenye uhitaji maalum.

Irafay amesema “Betrina alikuwa katika mazingira magumu sana baada ya kupoteza wazazi wake. Kukamilika kwa nyumba hii ni uthibitisho kwamba serikali inawajali wananchi wake. Kama halmashauri tutaendelea kumfuatilia na kuhakikisha anapata huduma zote muhimu.”

Nyumba hiyo inatarajiwa kukabidhiwa rasmi kwa Betrina katika siku chache zijazo, hatua itakayompa makazi salama, heshima na mwanzo mpya wa maisha baada ya changamoto nzito alizopitia.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • SERIKALI YAKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA MWANANCHI MWENYE MAHITAJI MAALUM WARET.

    November 27, 2025
  • WATENDAJI WA KATA 11 KATI YA 33 WAPEWA 'REDCARD'; CHAKULA SHULENI NI LAZIMA 2026

    November 19, 2025
  • WANANCHI HANANG' KUPATA MAJIKO BANIFU KWA SHILINGI 11, 200 TU

    November 19, 2025
  • DED HANANG' AIASA JAMII KUCHUKUA HATUA ZA KINGA DHIDI YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

    November 15, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.