• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHIMISEMITA 2025: HANANG DC YATINGA HATUA YA NUSU FAINALI KIBABE MBELE YA DED NA DAS.

Posted on: August 27th, 2025

Timu ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imeendelea kuwa moto wa kuotea mbali katika mashindano ya SHIMISEMITA yanayoendelea jijini Tanga baada ya kutinga hatua ya nusu fainali kupitia michezo ya soka na volleyball.

Katika mchezo wa mapema jana asubuhi, wanawake wa Hanang DC walionesha ubabe mkubwa kwenye mchezo wa volleyball kwa kuichapa Karatu DC seti 3–0 (25–20, 25–17, 25–12) na kufuzu hatua ya nusu fainali kwa kishindo.

Baadaye jioni, mchezo wa soka uliweka historia yake, baada ya wanaume wa Hanang DC kutinga nusu fainali kwa mikwaju ya penalti 3–2 dhidi ya Pangani DC, kufuatia dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare tasa bila kufungana.

Kilichoongeza msisimko wa michezo yote ni uwepo wa viongozi wakuu wa wilaya hiyo, akiwemo Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang, Mwl. Athumani Likeyekeye, na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Teresia Irafay, waliokuwa bega kwa bega na wakuu wa idara mbalimbali kuiunga mkono timu yao.

Ikumbukwe, Hanang DC tayari imejihakikishia heshima katika michezo ya riadha baada ya kutwaa medali kwenye mbio za mita 100, 200, 400 pamoja na mbio za kupokezana vijiti (relay) kwa wanaume na wanawake.

Kwa hali hii, Hanang DC sasa imebaki kuwa miongoni mwa halmashauri tishio zaidi kwenye mashindano ya SHIMISEMITA 2025.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • View All

Latest News

  • WANANCHI HANANG’ WAJITOKEZA KUSHIRIKI USAFI WA MAZINGIRA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI

    August 31, 2025
  • HANANG' DC YATWAA MEDALI 12 NA KOMBE MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025.

    August 30, 2025
  • SHIMISEMITA 2025: HANANG DC YATINGA HATUA YA NUSU FAINALI KIBABE MBELE YA DED NA DAS.

    August 27, 2025
  • HANANG' DC YAZIDI KUNG’ARA SHIMISEMITA, YATINGA ROBO FAINALI YA SOKA NA KUTWAA MEDALI YA RIADHA

    August 25, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.