• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TAHADHARI YA M-POX: ELIMU YA KINGA YATOLEWA KWA WAJUMBE WA BARAZA LA MAMLAKA YA MJI MDOGO WA KATESH.

Posted on: April 4th, 2025

Wajumbe wa Baraza la Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katesh, Wilaya ya Hanang, wamepatiwa elimu ya kinga dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa m-pox, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Halmashauri ya Wilaya hiyo kukabiliana na kuenea kwa maradhi hayo.

Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa Baraza la Mamlaka Mji Mdogo Katesh, Daktari kutoka Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini), Catherine Amros, amesema elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa wa jamii kuhusu namna ya kujikinga, kutambua dalili na hatua za kuchukua endapo mtu atakuwa na mashaka ya kuambukizwa.

“Tunahimiza ninyi kama wajumbe na wawakilishi wa wananchi kuwa mabalozi wa afya kwa jamii kusambaza ujumbe huu wa tahadhari, hasa katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu ikiwemo mikutano yenu ya vitongoji, na hata katika ngazi ya kaya” alisema Dkt. Amros.

Kwa mujibu wa Dkt. Amros, dalili kuu za m-pox ni pamoja na homa, uchovu, kuvimba tezi, na upele unaojitokeza usoni na sehemu nyingine za mwili, akiongeza kuwa mtu yeyote anayeonesha dalili hizo anapaswa kupelekwa katika kituo cha afya mapema kwa uchunguzi zaidi.


Halmashauri ya Wilaya ya Hanang inaendelea kutoa elimu hiyo kwa makundi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na masoko, shule na taasisi za kidini, ili kuongeza mwamko wa jamii kuhusu kujikinga na ugonjwa huo.

Katika wilaya ya Hanang bado hakuna mlipuko wa m-pox, lakini hatua hizi za kinga ni sehemu ya mkakati wa tahadhari ili kuhakikisha usalama wa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.