• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TIMU YA SOKA HANANG' DC IMEIBAMIZA TIMU YA MERU DC BAO 5-0, HUKU IKING'ARA KATIKA MICHEZO MINGINE

Posted on: August 22nd, 2025

Ni rekodi iliyoandikwa hii leo na Timu ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo katika mashindano ya SHIMISEMITA yanayoendelea jijini Tanga, kwa kushinda michezo yote iliyoshiriki.

Rekodi hii haijafikiwa na timu yoyote katika mashindano haya mwaka huu tangu yaanze Agosti 15 kwa kuibuka na ushindi katika michezo yake yote inayoshiriki.

Katika soka, Hanang’ DC imeichakaza bao 5 kwa nunge (5-0) kibonde wake timu ya Meru DC, mchezo uliopigwa leo mchana katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mzingani, ushindi mnono unaodhihirisha ubora wa kikosi kuanzia ulinzi hadi safu ya ushambuliaji.

Kunako katika mchezo wa wavu (volleyball) upande wa Wanaume, timu ya Hanang’ DC wameichakaza Mbarali DC seti 2–0 (25–10, 25–10), wakitawala mpira wa pili na nidhamu ya uwanjani. Mechi nyingine, Mpimbwe DC waliishia mitini kwa kutotokea katika mchezo hivyo Hanang’ DC ikawekewa ushindi wa mezani wa seti 2–0 (25–0, 25–0) sambamba na pointi 50 za kikanuni.

Kwa upande wa volleyball wanawake, hali ilikuwa vivyo hivyo kama Mpimbwe DC baada ya Kishapu DC kugoma kuingia uwanjani na kuwafanya waamuzi kuipa Hanang’ DC ushindi wa seti 2–0 (25–0, 25–0) na pointi 50.

Riadha nako Hanang' DC haikubaki nyuma, ambapo Joseph Ernest ameshinda mbio za mita 800 na kuingia hatua ya fainali huku Vicent Kanyogoto akishinda mbio za mita 200 na kuingia hatua ya nusu fainali

Kwa ujumla, matokeo ya leo yanaipa Hanang’ DC kasi na ari mpya kwenye mashindano haya, ikionesha kikosi chenye uwiano mzuri katika soka, volleyball na riadha na kuashiria siku zijazo zenye ushindani lakini pia matumaini makubwa ya mataji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • View All

Latest News

  • TIMU YA SOKA HANANG' DC IMEIBAMIZA TIMU YA MERU DC BAO 5-0, HUKU IKING'ARA KATIKA MICHEZO MINGINE

    August 22, 2025
  • HANANG DC YAENDELEA KUNG’ARA KWENYE VOLLEYBALL HUKU IKIONGOZA KUNDI D2 KWENYE SOKA

    August 20, 2025
  • MKURUGENZI HANANG AKUTANA NA WADAU WA STAKABADHI GHALANI, AAHIDI UBORESHAJI

    July 24, 2025
  • HANANG YAZINDUA ZOEZI LA HAMASA YA UCHANJAJI MIFUGO KWA RUZUKU YA SERIKALI

    July 24, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.