• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAHANANG WAASWA KUWEKA NIDHAMU NA USHIRIKIANO KATIKA SAFARI YA ELIMU

Posted on: September 19th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang, Mwalimu Athumani Likeyekeye, amesisitiza umuhimu wa nidhamu katika elimu na kuonya kuwa wazazi na walezi wanaochangia watoto wao kutohudhuria masomo kwa utoro watachukuliwa hatua za kisheria.

Ametoa onyo hilo alipohudhuria kama mgeni rasmi katika mahafali ya darasa la saba katika Shule ya Msingi Balangdalalu, ambapo alisisitiza kuwa jukumu la malezi ni la familia na linapaswa kushirikiana na walimu kuhakikisha kila mtoto anapata haki ya elimu kikamilifu.

“Wazazi na walezi mnapaswa kufahamu kwamba elimu ndiyo nguzo ya maisha ya mtoto. Mnaposhirikiana na walimu, mnajenga taifa lenye misingi thabiti ya maendeleo. Utoro na kutelekeza wajibu wa malezi hakutavumiliwa, hatua za kisheria zitachukuliwa kwa atakayekiuka,” alisema Likeyekeye.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Teresia Irafay, aliwapongeza walimu kwa juhudi kubwa wanazofanya kila siku katika malezi na ufundishaji wa watoto. Alisema walimu ndio injini ya maendeleo ya taifa na mchango wao hauwezi kupuuzwa.

Aidha, aliwaasa wazazi na walezi kuhakikisha wanashirikiana kwa karibu na walimu katika safari ya elimu ya watoto wao, akibainisha kuwa mchango wao ni muhimu katika kuwalea na kuwajengea misingi imara ya kimaadili na kielimu.

“Elimu ni urithi bora zaidi ambao mzazi anaweza kumpa mtoto wake. Tunahitaji kushirikiana ili kuhakikisha kila mtoto anapata nafasi ya kujifunza, kukua na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa letu,” alisema Irafay.

Kwa pamoja, viongozi hao walisisitiza kuwa nidhamu, mshikamano na ushirikiano kati ya walimu, wazazi na jamii kwa ujumla ndiyo msingi imara wa kuinua elimu katika Wilaya ya Hanang.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WANANCHI HANANG WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA USAFI NA UKUSANYAJI TAKA

    September 22, 2025
  • DED IRAFAY AAHIDI KUFANYA MICHEZO KUWA SEHEMU YA UTAMADUNI WA KAZINI.

    September 20, 2025
  • WANAHANANG WAASWA KUWEKA NIDHAMU NA USHIRIKIANO KATIKA SAFARI YA ELIMU

    September 19, 2025
  • DED IRAFAY AKABIDHI VISHKWAMBI KWA KIKOSI KAZI CHA UTAMBUZI NA USAJILI WA MADUKA YA VYAKULA NA VIPODOZI.

    September 11, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.