• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI HANANG’ WAJITOKEZA KUSHIRIKI USAFI WA MAZINGIRA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI

Posted on: August 31st, 2025

Wananchi wa vijiji mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang wamejitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la usafi wa mazingira lililofanyika Jumamosi ya mwisho wa mwezi, likiwa na lengo la kuhakikisha usafi katika makazi, maeneo ya biashara na taasisi za umma.

Akizungumza baada ya zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', Teresia Irafay, aliwapongeza wananchi kwa mwitikio wao mkubwa na kuwataka watendaji wa vijiji kuhakikisha wanasimamia kikamilifu utekelezaji wa zoezi hilo kila mwezi.

“Tunataka kuona kila kijiji kinashiriki ipasavyo kwenye Jumamosi ya usafi. Zoezi hili si la siku moja pekee, bali liwe sehemu ya maisha ya kila siku” alisema Irafay.

Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira wilaya ya Hanang', Ayubu Semdumbe, amesisitiza umuhimu wa wananchi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katesh kukusanya taka zote katika sehemu rasmi ili kuwezesha gari la kukusanya taka kuyafikia maeneo yote kwa urahisi.

Amesema kwa sasa gari la taka huzunguka kila Jumamosi na Jumatano, katika kata ya Ganana na Katesh hivyo ni muhimu wananchi wa maeneo hayo wahakikishe taka zimehifadhiwa vizuri ili kulinda afya na usafi wa jamii. 

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imekuwa ikitekeleza mpango wa kufanya usafi wa mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa kushirikisha wananchi wote, taasisi, na wadau wa maendeleo, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuboresha afya ya jamii na kupendezesha miji na vijiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WAKULIMA WA HANANG WANUFAIKA NA MGAO WA MATREKTA 20 YA MKOPO KUPITIA KANU EQUIPMENT NA PASS LEASING

    October 16, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA KATA NA VIJIJI WAJENGEWA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA MFUMO WA PLANREP

    October 16, 2025
  • WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA: HANANG’ YAANZA KLINIKI YA UTUMISHI KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI VIJIJINI

    October 07, 2025
  • HUDUMA BORA NI UZALENDO: DED IRAFAY ATOA WITO KWA WATUMISHI KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA UADILIFU NA UPENDO

    October 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.