• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA MIRADI HANANG WATAKIWA KUWASILISHA TAARIFA SAHIHI.

Posted on: February 24th, 2025

WASIMAMIZI wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Hanang wametakiwa kuhakikisha wanatoa ripoti sahihi za utekelezaji wa miradi tangu hatua za awali ili kuepusha changamoto wakati wa ukaguzi.

Akizungumza na walimu wakuu, watendaji, na wakuu wa idara mbalimbali, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Teresia Irafay, alisisitiza kuwa uwazi na ufuatiliaji wa karibu wa miradi ni muhimu kwa mafanikio yake.

Aidha, amemtaka Mhandisi wa Halmashauri kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wasimamizi wa miradi ngazi ya chini kwa kuwapa ushauri wa kitaalamu bila vikwazo. Amesema tayari Serikali imemuwezesha mhandisi huyo usafiri, huku mpango wa kuongezewa gari lingine ukiwa mbioni ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yake.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang, Mwalimu Athuman Likeyekeye, amepongeza hatua hiyo ya kuwaunganisha watendaji wa miradi, akisema kuwa ushirikiano wa karibu utaongeza ufanisi na uwajibikaji katika utekelezaji wa miradi hiyo.

"Miradi hii ni muhimu kwa maendeleo ya wananchi wetu, na tunahitaji kuona kila mtu anawajibika ipasavyo. Ushirikiano wa karibu kati ya wasimamizi wa miradi, wahandisi, na uongozi wa halmashauri utahakikisha kuwa hakuna ucheleweshaji wala matumizi mabaya ya rasilimali," alisema Mwalimu Likeyekeye.

Aidha, alisisitiza kuwa miradi mingi ya maendeleo imekuwa ikicheleweshwa kutokana na changamoto za urasimu na ukosefu wa taarifa sahihi. "Ni muhimu kwa kila msimamizi wa mradi kutoa ripoti za utekelezaji kwa wakati na kwa usahihi ili kurahisisha ukaguzi na kuhakikisha fedha zinatumika kama ilivyokusudiwa," aliongeza.

Katika mwaka wa fedha 2024/25, Halmashauri ya Hanang inatekeleza miradi 105 katika sekta za Afya, Elimu, Kilimo, na Utawala. Mkurugenzi ameagiza miradi yote ikamilike kabla ya Mei 30, 2025, ili kuepusha ucheleweshaji wa maendeleo na kuzuia miradi viporo.


Tazama Video hapa




Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • View All

Latest News

  • HANANG YATOA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1.5 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KATIKA MWAKA WA FEDHA 2024/25

    June 26, 2025
  • WANAWAKE MANYARA WAJENGEWA UWEZO KUPITIA JUKWAA LA UJASIRIAMALI

    June 25, 2025
  • WAMILIKI WA VIWANDA VYA KUCHAKATA ALIZETI WAJA NA MBINU THABITI NA RAFIKI WAKUTANA NA MKURUGENZI IRAFAY.

    June 16, 2025
  • KIKAO CHA DED HANANG NA UONGOZI WA WAMILIKI WA MABASI CHAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA HUDUMA KATIKA STENDI MPYA YA KATESH.

    June 16, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.