• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATAALAMU WA AFYA HANANG' WAENDELEA KUTOA ELIMU YA UGONJWA WA M-POX.

Posted on: March 24th, 2025

Wataalamu wa Afya wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' wameendelea kutoa elimu juu ya ugonjwa wa M-pox ambapo leo timu ya Maafisa Afya imetoa elimu kuhusu ugonjwa huo katika shule ya sekondari Nangwa na chuo cha ufundi stadi (VETA), Nangwa.

Katika elimu hiyo, Dokta Catherine Amros amesema ugonjwa wa Mpox unaweza kuambukiza, kati ya mtu mmoja hadi mwingine kupitia majimaji ya mtu mwenye maambukizi na wakati mwingine kutoka kwenye vitu au maeneo yaliyoshikwa na mtu mwenye maambukizi ya M-pox.

Awali akielezea jinsi ugonjwa wa M-pox unavyoambukiza, Dkt. Erasto Mushi amesema ni ugonjwa hatari wa mlipuko unaosababishwa na kirusi kinachojulikana kama Monkeypox na kuwataka kila mwananchi kujilinda na ugonjwa huo.

Naye Dkt. Reuben Mangala wamebainisha dalili za ugonjwa huo kuwa ni pamoja na kupata upele, homa, vidonda kooni, maumivu ya kichwa, maumivu ya mgongo, uchovu mwilini, Kuvimba mitoki ya mwili.

Aidha, wataalamu hao wamebainisha baadhi ya njia za kujikinga na ugonjwa huo kuwa ni pamoja na kutosalimaina kwa kukumbatiana, kubusiana au kushikana mikono na mtu mwenye maambukizi, epuka kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa huo, safisha na takasa sehemu zote na vitu ambavyo vinaguswa mara kwa mara.

Ikumbukwe, Machi 10, 2025 Serikali kupitia Wizara ya Afya ilitangaza kupokea wagonjwa wawili waliohisiwa kuwa na dalili za ugonjwa huo.

Hata hivyo, katika kudhibiti ugonjwa huo wilayani Hanang', mara tu taarifa ya uwepo wa visa hivyo kuripotiwa, wataalamu walianza kutoa elimu katika maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko ikiwemo shuleni, nyumba za Ibada, minadani, kuandaa eneo maalum la kuwatenga washukiwa wa ugonjwa huo sanjari na kutoa mafunzo maalum kwa watumishi wa Afya 83 kutoka hospitali ya Wilaya Tumaini na wengine 34 kutoka Kituo cha Afya Katesh juu ya namna ya kukabiliana na ugonjwa huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.