• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATENDAJI WA KATA 11 KATI YA 33 WAPEWA 'REDCARD'; CHAKULA SHULENI NI LAZIMA 2026

Posted on: November 19th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Hanang’, Mheshimiwa Almishi Hazali, ametoa karipio kali kwa watendaji wa kata 10 ambazo bado hazijaanzisha huduma ya chakula cha mchana kwa wanafunzi, akiwataka kuhakikisha huduma hiyo inaanza kutolewa mara moja.

Mheshimiwa Hazali amesema hayo leo Novemba 19, 2025 katika kikao cha tathmini ya lishe kwa robo ya kwanza ya mwaka 2025/26 na kuongeza kuwa suala la lishe ni msingi wa afya na ufaulu wa mwanafunzi, na hivyo halipaswi kuendeshwa kwa uzembe.

Katika kauli yake yenye msisitizo, Mheshimiwa Hazali alisema “Hili si suala la hiari. Kata nyingine zimeweza, kwa nini nyie mshindwe? Tafakarini kama kweli mnatosha kusimamia watoto wetu kupata lishe au mnahitaji kubadilika. Hatutavumilia uzembe unaowaumiza watoto.”

Aidha, amewaagiza watendaji hao kuandika barua za kujieleza, huku kikao kikiweka msimamo mpya kwamba kuanzia Januari 2026, mzazi atakayeshindwa kuchangia chakula cha mchana shuleni atatozwa faini ya shilingi 50,000, ili kuhakikisha hakuna mtoto anayesoma akiwa na njaa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, Teresia Irafay, amesema kuwa ajenda ya lishe ni ya kudumu na halmashauri itaendelea kuongeza msukumo kwa shule zote, kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mlo wa mchana.

Kikao hicho ni sehemu ya juhudi endelevu za serikali kuhakikisha afya, ukuaji na ufaulu wa wanafunzi vinaimarishwa kupitia huduma ya chakula shuleni.



MATUKIO KATIKA PICHA:



Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WATENDAJI WA KATA 11 KATI YA 33 WAPEWA 'REDCARD'; CHAKULA SHULENI NI LAZIMA 2026

    November 19, 2025
  • WANANCHI HANANG' KUPATA MAJIKO BANIFU KWA SHILINGI 11, 200 TU

    November 19, 2025
  • DED HANANG' AIASA JAMII KUCHUKUA HATUA ZA KINGA DHIDI YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

    November 15, 2025
  • HANANG YAWEKA MKAKATI MPYA WA KUBORESHA LISHE SHULENI NA JAMII – SHULE 54 ZAAGIZWA KUTOA CHAKULA CHA MCHANA IFIKAPO JANUARI 2026

    November 17, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.