• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA KATA NA VIJIJI WAJENGEWA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA MFUMO WA PLANREP

Posted on: October 16th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imeendelea kuwajengea uwezo watumishi wake katika nyanja ya upangaji na uandaaji wa bajeti kwa kutumia mfumo wa PLANREP (Planning of Revenue and Expenditure Projection), ili kuongeza ufanisi katika usimamizi na utekelezaji wa mipango ya maendeleo.

Mafunzo hayo yamefanyika kuanzia Oktoba 13 hadi 16, 2025, katika ukumbi wa Shule ya Msingi Katesh A, yakihusisha wakuu wa idara, vitengo, pamoja na maafisa watendaji wa kata na vijiji wote wa Wilaya ya Hanang’.

Awamu ya kwanza ya mafunzo ilihusisha wakuu wa vitengo na idara mbalimbali, ambapo Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang CPA John Kajivo alifungua mafunzo hayo na kusisitiza umuhimu wa watumishi kuelewa kwa kina mchakato wa upangaji bajeti unaoendana na miongozo ya serikali, ili kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa tija na kwa wakati.

Awamu ya pili ya mafunzo, ilihusisha wasimamizi wa miradi ngazi ya kata na vijiji.

Akifunga mafunzo hayo leo Oktoba 16, 2025 Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang, Mwalimu Athumani Likeyekeye, ambaye alikuwa mgeni rasmi, aliwataka washiriki kutumia ujuzi walioupata kuboresha upangaji wa miradi na matumizi sahihi ya fedha za umma katika maeneo yao.

Amesema serikali inaendelea kuimarisha uwezo wa watumishi katika ngazi zote za utawala ili kuhakikisha mipango ya maendeleo inaandaliwa kwa usahihi, inatekelezwa kwa wakati, na inatoa matokeo chanya kwa wananchi.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Mipango, Erick Kayombo; mafunzo hayo ni sehemu ya mpango endelevu wa halmashauri wa kujenga uwezo wa watumishi katika matumizi ya mifumo ya kisasa ya serikali, ikiwa ni hatua muhimu katika kuboresha uwazi, uwajibikaji na ufanisi wa kiutendaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WAKULIMA WA HANANG WANUFAIKA NA MGAO WA MATREKTA 20 YA MKOPO KUPITIA KANU EQUIPMENT NA PASS LEASING

    October 16, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA KATA NA VIJIJI WAJENGEWA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA MFUMO WA PLANREP

    October 16, 2025
  • WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA: HANANG’ YAANZA KLINIKI YA UTUMISHI KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI VIJIJINI

    October 07, 2025
  • HUDUMA BORA NI UZALENDO: DED IRAFAY ATOA WITO KWA WATUMISHI KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA UADILIFU NA UPENDO

    October 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.