• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA: HANANG’ YAANZA KLINIKI YA UTUMISHI KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI VIJIJINI

Posted on: October 7th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imeanza kliniki maalum ya kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi na watumishi walioko nje ya makao makuu ya halmashauri kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja duniani.

Kliniki hiyo, inalenga kusogeza huduma karibu na wananchi na kuimarisha mawasiliano kati ya serikali na jamii katika ngazi za vijiji na kata ambapo leo Oktoba 7, 2025 Afisa Utumishi wa Halmashauri, Martin Justine, ameongoza timu ya wataalam katika tarafa ya Endasaki, ambapo wananchi na watumishi mbalimbali walipata nafasi ya kueleza changamoto zao na kupatiwa majibu ya papo kwa papo kutoka kwa wataalamu husika.

Katika kliniki hiyo, wananchi wameeleza masuala yanayohusu huduma za kijamii, ajira, upandishaji vyeo, posho, upatikanaji wa taarifa za serikali, pamoja na ushirikishwaji katika miradi ya maendeleo. Wataalamu walihusika kutoa ufafanuzi, kushauri, na kuchukua hatua stahiki za kutatua changamoto hizo kwa wakati.

Aidha, watumishi wa sekta za afya, elimu, kilimo, na watendaji wa vijiji na kata walipata nafasi ya kusikilizwa kuhusu masuala ya kiutumishi, ambapo baadhi ya changamoto zao zilitatuliwa mara moja huku nyingine zikihifadhiwa kwa ufuatiliaji wa haraka.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Afisa Utumishi, Martin Justine, amesema kliniki hizo ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’, Teresia Irafay, aliyetoa wito kwa watumishi wote kutoa huduma bora na kwa wakati kwa wananchi kama ishara ya uwajibikaji na uzalendo.

Kliniki hiyo itaendelea katika tarafa mbalimbali kwa ratiba ambapo kesho Oktoba 8, 2025 ni tarafa ya Bassotu, Balangdalalu ni Oktoba 9, 2025 kisha Simbay Oktoba 10, 2025 kabla ya kuhitimisha katika tarafa ya Katesh  Oktoba 11, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imepanga kuendesha kliniki kama hizi mara kwa mara kama sehemu ya utekelezaji wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja, chini ya kauli mbiu ya "CHANGAMOTO YAKO NI WAJIBU WANGU"  yenye lengo la kuongeza uwazi, ufanisi na uwajibikaji katika utoaji wa huduma za umma.

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA June 06, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI June 06, 2025
  • TANGAZO: MAUZO YA DENGU NA MBAAZI KUPITIA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI MWAKA 2025 July 29, 2025
  • TANGAZO: FURSA YA USAFISHAJI WA MASHAMBA PORI September 04, 2025
  • View All

Latest News

  • WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA: HANANG’ YAANZA KLINIKI YA UTUMISHI KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI VIJIJINI

    October 07, 2025
  • HUDUMA BORA NI UZALENDO: DED IRAFAY ATOA WITO KWA WATUMISHI KUWAHUDUMIA WANANCHI KWA UADILIFU NA UPENDO

    October 07, 2025
  • WANANCHI WA KATESH WAENDELEA NA UTAMADUNI WA USAFI WA MAZINGIRA

    October 01, 2025
  • HANANG YAIMARISHA KAMPENI YA UCHANJAJI WA MIFUGO, ZAIDI YA WANYAMA 79,000 WAMEONGEZEKA KWA MWEZI SEPTEMBA

    October 01, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.