• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZAIDI YA BILIONI 1.3 ZAKOPESHWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU, SERIKALI YASISITIZA UWAJIBIKAJI.

Posted on: May 3rd, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imetoa zaidi ya shilingi bilioni 1.3 kwa vikundi 92 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika mwaka wa fedha 2024/2025 kupitia mpango wa asilimia 10 ya mapato ya ndani.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili kwa wanufaika wa awamu ya pili ya mikopo hiyo, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wilaya ya Hanang’, William Gaudence, alisema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwawezesha kiuchumi Watanzania wote, hususan makundi yenye uhitaji maalum.

“Halmashauri ilianza kwa kutoa milioni 504 kwa vikundi 33 katika awamu ya kwanza, na sasa tumewafikia vikundi 59 kwa mkopo wa milioni 799. Tukijumlisha awamu ya kwanza na ya pili, Halmashauri ya Wilaya ya Hanang sasa itakuwa imetoa zaidi ya shilingi bilioni moja na mia tatu” alisema Gaudence na kuongeza kuwa mafanikio ya wanufaika yatafungua fursa zaidi kwa wengine.

Vikundi hivyo 59 vilivyopata mafunzo katika ukumbi wa Shule ya Msingi Katesh A, vinajumuisha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu waliopatiwa elimu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, mbinu za urejeshaji wa mikopo, pamoja na maadili ya uongozi wa vikundi.

Kati ya shilingi milioni 799 zilizotolewa, vikundi 31 vya wanawake vimepata milioni 486.9, vijana milioni 282.5, na vikundi vinne vya watu wenye ulemavu milioni 29.6.

Kwa upande wake, mgeni rasmi katika hafla hiyo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Hanang’, Mwalimu Athuman Likeyekeye, akimwakilisha Mkuu wa Wilaya, aliwataka wanavikundi kutumia fedha walizopokea kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha wanarejesha mikopo kwa wakati.

“Tunaamini fedha hizi zikitumika vizuri zitaenda kuongeza uchumi kwa Wanahang na hili ni deni la heshima. Wenzenu wanawasubiri. Urejeshaji wa mikopo hii ndio utakaofanikisha mzunguko wa maendeleo katika jamii yetu,” alisema Likeyekeye.

Halmashauri imeahidi kuendelea kutoa mafunzo na usaidizi wa kitaalamu ili kuhakikisha miradi hiyo inaleta matokeo endelevu na halisi kwa familia na jamii kwa ujumla.

Katika wakati ambapo juhudi za kukuza uchumi wa ndani zinazidi kupewa kipaumbele, mfano wa Hanang’ unaweza kuwa dira kwa halmashauri, ikionyesha kuwa uwekezaji kwa watu ni chachu ya mabadiliko ya kweli.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • SERIKALI HANANG YADHAMIRIA KUIMARISHA USAFI WA MAZINGIRA KWA WAKAZI WA WARET

    May 19, 2025
  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.