• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Hanang DIstrict Council
Hanang DIstrict Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mali Asili
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Madini
    • Viwanda
    • Biashara
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma kwa Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Whe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Madiwani
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • On coming Project
    • On going Projects
    • Completed Projects
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ziara ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Wilayani Hanang'

Posted on: September 10th, 2017

MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2017 WILAYANI HANANG' YAPITIA JUMLA YA MIRADI 7.

Wananchi wa Wilaya ya Hanang' wamepokea Mwenge wa Uhuru chini ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2017, Ndg. Amour Hamad Amour

Ndg.Amour Hamad Amour. Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2017


MAJINA YA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU KITAIFA MWAKA 2017

  1. Bahati Mwaniguta Lugodisha (Geita)
  2. Vatima Yunus Hasan (Kusini Pemba)
  3. Fredrick Joseph Ndahani (Singida)
  4. Shukran Islam Msuri (Mjini Maghribi)
  5. Salome Obadia Mwakitalima (Katavi)
  6. Amour Hamad Amour (Kiongozi Kaskazini Unguja)


UJUMBE WA MWENGE WA UHURU MWAKA 2017“

"SHIRIKI KATIKA UCHUMI WA VIWANDA KWA MAENDELEO YA NCHI YETU”

Mwenge wa Uhuru ukiwa Wilayani Hanang’ umekimbizwa Km. 161.3 ambapo umepita katika Tarafa 3 kati ya 5, Kata 8 kati ya 33 na Vijiji 10 kati ya 96. Jumla ya Miradi 7 imepitiwa na Mwenge wa Uhuru. Kati ya hiyo, Miradi 2 imezinduliwa, Miradi 3 imewekewa jiwe la msingi na miradi 2 imeonwa. Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ina thamani ya jumla ya Tshs. 897,367,849.76 ambapo kati ya fedha hizi, nguvu za wananchi ni Tshs.45,442,000.00, Halmashauri Tshs.34,214,958.00, wadau wa Maendeleo Tshs. 13,000,000.00 na Serikali kuu ni Tshs. 804,710,891.76

Uwekaji jiwe la msingi Madarasa 2 na ofisi 1 S/M Laja

 Uwekaji wa jiwe la msingi  Kituo cha Afya- Ishponga


Fuatilia taarifa fupi za miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru zilizowasilishwa kwa kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2017

Bofya hapa > TAARIFA YA MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE 2017.pdf


MKESHA WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI HANANG' 2017

Mkesha wa Mbio za Mwenge mwaka 2017 umefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Katesh A, na kuudhuriwa na Wananchi wengi kutoka viunga vyote vya Wilaya ya Hanang wakiongozwa na viongozi mbalimbali wakiwemo;-  Wenyeviti wa Vijiji, Viongozi wa madhehebu ya dini, Viongozi wa mashirika ya Umma, Wawakilishi wa vyama vya Siasa (CCM, CHADEMA, CUF, ACT- Wazalendo, NCCR Mageuzi na TLP), Wakuu wa Idara na Vitengo vya Halmashauri, Mwenyekiti wa Halmashauri na Waheshimiwa madiwani, Kamati ya Ulinzi na Usalama(DED, DAS, OCD,DSO,Mshauri wa Mgambo, kamanda TAKUKURU, Afisa Magereza) wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya Bi. Sara Msafiri , ambapo asubuhi tarehe 11/09/2017 Mkuu wa Wilaya huyo aliukabidhi Mwenge  wa Uhuru pamoja Viongozi wote wa Mbio za Mwenge 2017 kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati Vijijini.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - HANANG DC October 22, 2024
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA HANANG 2023 December 03, 2022
  • MATOKEO YA USAILI KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III NA KADA YA DREVA II September 12, 2022
  • TANGAZO LA KUKODISHA SHAMBA LA GAWAL NA BASSOTU August 18, 2022
  • View All

Latest News

  • JENGO LA WODI YA WAZAZI HOSPITALI YA TUMAINI MBIONI KUKAMILIKA , LATOA MATUMAINI MAPYA KWA WAKAZI WA HANANG’

    May 14, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA: WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO HANANG.

    May 14, 2025
  • CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI HANANG’

    May 13, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZA UONGOZI KWA HALMASHAURI KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 07, 2025
  • View All

Video

Mh. Rais John Pombe Maghufuli akitoa onyo juu ya vyombo vya habari
More Videos

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu za Leseni za Biashara

Viunganishi Linganifu

  • Watumishi Portal
  • Tovuti yaUtumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali ya Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Manyara
  • Tovuti TAMISEMI
  • Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA)

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembelea Tovuti

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Hanang' District Council Headquater located at the Northern part of Katesh town in Ganana Ward

    Postal Address: P.O Box 02 Katesh-Hanang'

    Telephone: 027-2530022 / 42

    Mobile: +255 762 362 950

    Email: ded@hanangdc.go.tz

Mawasiliano yetu

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.