Posted on: November 29th, 2025
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali wilayani Hanang’ leo Novemba 29, 2025 wamejitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la usafi wa mazingira kama sehemu ya utaratibu wa kitaifa wa kufanya usafi kila jumamosi ...
Posted on: November 27th, 2025
Serikali imekamilisha ujenzi wa nyumba maalum kwa ajili ya kumpatia makazi salama Betrina Basili Francis, binti mwenye mahitaji maalum aliyeathirika vibaya na maporomoko ya tope ya Desemba 2023 yaliyo...
Posted on: November 19th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Hanang’, Mheshimiwa Almishi Hazali, ametoa karipio kali kwa watendaji wa kata 10 ambazo bado hazijaanzisha huduma ya chakula cha mchana kwa wanafunzi, akiwataka kuhakikisha huduma hi...