Posted on: September 11th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang, Teresia Irafay, amekabidhi vitendea kazi kwa kikosi kazi cha usajili na utambuzi wa maduka yanayouza vyakula na vipodozi wilayani Hanang.
Vit...
Posted on: September 16th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mheshimiwa Almishi Hazali, ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa karakana ya ufundi kwa ajili ya wanafunzi wa elimu ya watu wazima chini ya programu maalumu ya IPOSA.
Ha...
Posted on: September 9th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Queen Sendiga, leo amezindua rasmi Kambi Maalumu ya Madaktari Bingwa wa ndani ya mkoa huo katika Hospitali ya Wilaya ya Hanang, Tumaini.
Akizungumza katika uzind...