Posted on: June 2nd, 2025
Wananchi wa Wilaya ya Hanang’ wameanza kunufaika na huduma za kibingwa kutoka kwa timu ya madaktari saba waliobobea, maarufu kama “Madaktari wa Mama Samia”, walioweka kambi ya siku sita wilayani hapa ...
Posted on: June 1st, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Hanang' jana Mei 31. 2025 imefanya bonanza la usafi wa mwisho wa mwezi kwa kufanya shughuli mbalimbali ambapo mapema asubuhi ulifanyika usafi wa jumla katika maeneo mbalimbali...
Posted on: May 31st, 2025
Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi na Awali Wilaya ya Hanang, Geofrey Abayo, amekutana na Maafisa Elimu wa kata zote kwa lengo la kuweka mikakati thabiti ya kuinua kiwango cha elimu katika shule za msingi ...