Posted on: November 15th, 2025
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang', Teresia Irafay, ametoa wito kwa wananchi kuchukua hatua madhubuti za kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs), ambayo yanaongezeka kwa kasi ...
Posted on: November 17th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Hanang imeongeza nguvu katika maboresho ya lishe kupitia maamuzi muhimu yaliyofikiwa katika kikao cha Kamati ya Lishe ya Wilaya kilichofanyika mjini Katesh. Katika kikao hicho...
Posted on: November 13th, 2025
Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Maryam Muhaji, ameongoza kikao kazi cha uwasilishaji wa mpango wa gharama za utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Maji na Usafi wa Mazingira (WASH) kilichofanyika Nove...