Posted on: October 1st, 2025
Wananchi wa mji wa Katesh leo Oktoba 1, 2025 wamejitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ikiwemo barabara, makazi na maeneo ya umma.
Zoezi hilo ni sehemu...
Posted on: October 1st, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imepiga hatua kubwa katika kampeni ya uchanjaji wa mifugo, ambapo hadi kufikia 30 Septemba 2025 jumla ya mifugo 510,729 imekwishapewa chanjo dhidi ya magonjwa mbalimba...
Posted on: September 22nd, 2025
Wananchi wa vijiji mbalimbali wilayani Hanang wameungana kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kushiriki shughuli za usafi na ukusanyaji wa taka katika maeneo ya umma.
Maadhimisho hayo yameenda...